mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,699
- 2,355
LINDO linafunguliwa saa sitaa kamili usiku Kila sikuErtugrul Bey mda wa lindo
LINDO linafunguliwa saa sitaa kamili usiku Kila sikuErtugrul Bey mda wa lindo
saa 5 ni muda wa kuchagua sirah na kuanza kusogeaLINDO linafunguliwa saa sitaa kamili usiku Kila siku
0101+Ubao wa LiveScore unaonyesha ngapi ngapi mpaka sasa?
Unabishan n utaratibu itabidi tukupumzishee LINDO kwanzaasaa 5 ni muda wa kuchagua sirah na kuanza kusogea
SanaaaaaaaaInasikitisha sana
Your welcome againLeft 4 a while 😴😴😴
@3am i got task to do.
sema walah mkuu 😁Unabishan n utaratibu itabidi tukupumzishee LINDO kwanzaa
ibumexNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
sheria zimewekwa ili zivunjwe bwana,, humu kuna watu wanapita mpka saa 6 mchana😆,, enwei nitajitahidi kuja saa 6 usiku
Nimekukumbusha tu mkuuu siyo kw ubayaa af ao wano pita uo mda wanaonekana awaelewiisheria zimewekwa ili zivunjwe bwana,, humu kuna watu wanapita mpka saa 6 mchana😆,, enwei nitajitahidi kuja saa 6 usiku
Tuko pamoja mkuusawa sawa mbotoro nimekupata
pamoja sana mkuuNimekukumbusha tu mkuuu siyo kw ubayaa af ao wano pita uo mda wanaonekana awaelewii
Hali ya lindo ipo vip uko ulikoopamoja sana mkuu
huku poa tu nipo baridi kali vip hukoHali ya lindo ipo vip uko ulikoo