JamiiForums Usiku wa manane
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Saa 3:12 pm ndio ntafika home nkitoka the voice tabata.
 
Hi JF member,

Comment au tuma picha uko wapi now usiku huu mkubwa.

Hii ni special kwa wazee wa night life ....yaani night kali.

Mimi natoka club muda huu ndio nataka nilale, yaani mi saa 3:18 pm usiku
 
Back
Top Bottom