pole sana mkuu00:09am Dar 😎
Mapenzi yalinitesa nachoshukuru hayakuniua.
Ni nyimbo ya Fid Q ft Christian Bella ~ Rohopole sana mkuu
sawa mkuuNi nyimbo ya Fid Q ft Christian Bella ~ Roho
mkuu pole sana na mapenzi mimi naumiza kichwa hapa nadesign mtandao mpya Tanzania02:30am Nachingwea 🙂
We we're only lovers before the love came in!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bey kwenye One and Two.. Nimekupata kwa nguvu ya Tano. Nakuongezea magazine 5. Uimalishe Lindo.Mastory ya Bey
Story: “Washikaji wa Faida – Vincenzo Jr & Fake P”
Vincenzo Jr alikutana na Fake P, mwanadada jasiri na mpenda maendeleo, kupitia mijadala ya usiku wa manane kwenye Jamii Forums. Alimvutia kwa maneno yake ya kina na hoja zisizokuwa za kawaida kwa mtu wa jinsia yake. Watu wengi walidhani walikuwa wapenzi — lakini wao walikuwa zaidi ya hivyo: walikuwa washikaji wa malengo.
Fake P alikuwa na kipaji cha uandishi na uongozi wa kijamii. Vincenzo Jr alikuwa na exposure ya miradi, ufadhili, na mawasiliano. Walikubaliana kutengeneza kitu kikubwa — wakaanzisha jukwaa mtandaoni la kusaidia vijana kuandika CV, barua za maombi, na kupata mafunzo ya ujasiriamali.
Usiku walikuwa wakishauriana:
Fake P: "Vince, tusitake kuwa maarufu — tutake kuacha alama."
Vincenzo Jr: "Nakusikia, Fake. Tuandike proposal hii kwa jina la watu — si kwa sifa zetu."
Wakiwa mikoa tofauti, walifanya mengi pamoja: kutengeneza ajira ndogo, kusaidia wasichana waliokatishwa masomo, na kuhamasisha vijana kujitambua. Hawakuwa na mapenzi ya kimwili — lakini walikuwa na upendo wa kusukumana mbele.
Wengine waliona mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa washikaji bila tamaa. Lakini Vincenzo Jr na Fake P walithibitisha: urafiki halisi ni faida, si hisia.
Ayra Starr Ft Omah Lay - Beggie Beggiemkuu pole sana na mapenzi mimi naumiza kichwa hapa nadesign mtandao mpya Tanzania
Nimekumisi walahi 😎🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bey kwenye One and Two.. Nimekupata kwa nguvu ya Tano. Nakuongezea magazine 5. Uimalishe Lindo.
Umesahau Vin Vincenzo Jr ni mtu wa hasira hasira 🤣🤣🤣🤣
Nimeipenda hii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bey kwenye One and Two.. Nimekupata kwa nguvu ya Tano. Nakuongezea magazine 5. Uimalishe Lindo.
Umesahau Vin Vincenzo Jr ni mtu wa hasira hasira 🤣🤣🤣🤣
Toa Code toa Location, tupate kahawa kwanza weekend ianze mapema KigamboniNimekumisi walahi 😎
Upo mtaani kwangu mtoto mzuri?😎😎Toa Code toa Location, tupate kahawa kwanza weekend ianze mapema Kigamboni
Karibu sana expert wanguRasmi nitakuwa nikishinda humu
Vincenzo Street?? 🤣🤣JF inafariji sana.. Na Mamvi zangu naitwa mtoto mzuri of kozi nimetabasamu sana Hope urassaUpo mtaani kwangu mtoto mzuri?😎😎