Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,364
- 96,650
06;09 lindo lime fungwa rasmi
Inategemea na mazingira ambayo upo,mfano niliwahi kuishi lushoto Tanga,huko vinyonga wakutosha tuSikuhizi siwaoni kabisa hawa viumbe hai wenzangu 🤗
Kiukweli anaogopesha,tulivyokuwa wadogo tulidanganywa kwamba akifika utosini kwako hatoki ng'oHuyu ni mdudu nina muogopa mno, hata picha zake tu zinanitisha
Walisema kuwa anazipu ya kufichia watoto tumboni kwake😂😂😂Kiukweli anaogopesha,tulivyokuwa wadogo tulidanganywa kwamba akifika utosini kwako hatoki ng'o
Wazee wa zamani Mungu anawaona aisee
Kuna rafiki yangu aliniambiaga huyu mdudu alimpandia mjomba ake akampulizia hewa, huwa mjomba akafarikiKiukweli anaogopesha,tulivyokuwa wadogo tulidanganywa kwamba akifika utosini kwako hatoki ng'o
Wazee wa zamani Mungu anawaona aisee
Naona huyo mjomba siku yake ilifika tu bwana hahahahKuna rafiki yangu aliniambiaga huyu mdudu alimpandia mjomba ake akampulizia hewa, huwa mjomba akafariki
Amekuwa kangaroo hahahWalisema kuwa anazipu ya kufichia watoto tumboni kwake😂😂😂
Nilivyoambiwa hivyo nilishtuka sanaNaona huyo mjomba siku yake ilifika tu bwana hahahah