JamiiForums Usiku wa manane
Na saa nyingine wanakuuliza ili wajue je kitu walicho kutumia kinafanya kazi au laa😂😂

Dawa yao ni kuwaambia uko poa hata kama wamekuumiza😂😂
Ukiwabia ukopoa wanaongeza doziii.

Waambie kichwa kinaniuma sana usiku.Hapo hawakugusi Zaidi ya kusubiri matokeo Tu.

Lakini wachawi Bana wanaroho nzuri saaaana mida ya mchana.
 
😹😹😹 Mida km hii tunakiamsha 🤣

Mi nimezeeka ss hivi watu wananidiss nawapotezea hata siwajibu kweli nimekuwa, nakumbuka 2023 ukinikwaa tu naanzisha vagi muamuzi mod’s 😹😹😹

Nizae sasa kabla mayai hayajaviza 🤣
Hahaha, nadhani hata mods wame boeka kuona amani siku hizi .

Zaa mwanangu maana umri haurudi nyuma, j2 nime kutana na pisi tuka ishia kuangaliana tu 😆.

Mimi kama kawaida, I mean no malice to nobody
 
00;10

Dear You

I want to marry a woman I will be crazy about.

I am a creative.

That means I get bored easily.

That means I seek for something I can praise and constantly celebrate.

That's why I support Barcelona as a fan.

A club that also gets bored easily.

One time they had Maradona.

One time they had Ronaldo (The real Ronaldo).

Another time Rilvaldo, Ronaldinho, Messi...

Figo...

A club of interesting figures.

Today, despite going through financial disaster.

They still find a way to have players that will make adrenaline pump.

I want a woman in my life that will push my adrenaline in the best way.

People will tell you.

Life is not about Breastssss and Yanshhhh.

I agree.

They will tell you.

Nobody is perfect.

I agree. I tell them with my stomach like a pregnant woman. Instead of 6 packs.

I understand no one has it all.

Cos I may not exactly have it all.

And so I am not looking for perfection.

I am looking for the imperfections I can love.

I talk about Simi.

We all know Simi isn't perfect.

But her imperfections, I love.

Okay, enough about a married woman.

Let's talk about women that are single.

So we can marry as soon as possible.

I am ripe for marriage

I am the over ripped mango.

If nobody eats it sooner. It will be a waste.

I need to be eaten sooner.

I need to leave the single zone soon.

And Davido and Asa have inspired me.

If these young boys can settle.

Why can't I?

I want to settle.

I will search again.

One more search.

Searching is no longer fun.

The ladies of these generation aren't smiling.

So you may say, "Then marry the lady of older generations".

The ladies of the other generations have their own as well.

"You never ready"

But I am ready.

I will find.

A woman that's beautiful inside and out.

A woman that understands I have Andrea.

A woman that understands I will always live Simi without strings attached.

A woman that has sense.

A woman that wants a man.

A woman that loves me pieces.

A woman that has found her own purpose.

Sweet woman I can talk about always.

It's that too much to ask for?
 
00:47 Babes & Gentlehens 🙂
Fid Q - Mafanikio Ft Baraka The Prince

Mafanikio hayaji ukikata tamaa
Yenyewe huwafuata wanaojituma

Na wale wasiosukumwa na njaa
Sipigi kila dili mipaka imezingatiwa
Sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa
Ili kuheshimiwa kwanza ni lazima ujiheshimu

Lakini kufanikiwa ni maujanja tu sio lazima elimu
Ili kuyadaka wengine hugeuka wabaya
Mafanikio kwenye kuyasaka wengine hugeuka malaya
 
Back
Top Bottom