JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wana JF walivyo na roho mbaya watakubia tafuta pesa upate usingizi 😂😂😂😂

Ila duuh hata mimi usingizi umekataa mkuu
Wenye pesa hawalali mkuu saa hizi wapo wanapanga mipango ya kesho.

Saa sita kasoro ile nilikuwa naongea na mwanangu yupo TRA kwa ishu ya makadirio (hapa Dar sasa wanafanya kazi 24 hrs kurahisisha huduma) so maisha siyo usingizi tu tutalalaga hata kaburini.
 
Back
Top Bottom