JamiiForums Usiku wa manane
Taa inazimwa kabisa inabidi ujue kitendo cha mtu kubaki macho muda huu ambao wenzake wamelala siyo cha kawaida ana shida ya usingizi so taa zinazimwa kabisa anabaki anatumia simu usingizi ukija saa asiyoitarajia goma linaitika anapotea.
Ila kweli!
Lakini mimi taa sijazima hata nikipitiwa na usingizi inabaki inawaka
 
Wana JF walivyo na roho mbaya watakubia tafuta pesa upate usingizi 😂😂😂😂

Ila duuh hata mimi usingizi umekataa mkuu
Wenye pesa hawalali mkuu saa hizi wapo wanapanga mipango ya kesho.

Saa sita kasoro ile nilikuwa naongea na mwanangu yupo TRA kwa ishu ya makadirio (hapa Dar sasa wanafanya kazi 24 hrs kurahisisha huduma) so maisha siyo usingizi tu tutalalaga hata kaburini.
 
Back
Top Bottom