Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,203
- 10,839
Hawa mods washatuleta huku Tena
Hawa mods washatuleta huku Tena
Tutafika tu mkuu, Mungu ni mwemaMihangaiko sio poa mkuu ni tunapambana tu na MUNGU anasaidia pia maana peke yetu hatuwezi kwa kweliii
Namsemea niliyemuona, kwan Ww umemuona aliyepiga hy picha?Umejiuliza aliye piga picha lakini
Karibu mgenimimi
Ila kweli!Taa inazimwa kabisa inabidi ujue kitendo cha mtu kubaki macho muda huu ambao wenzake wamelala siyo cha kawaida ana shida ya usingizi so taa zinazimwa kabisa anabaki anatumia simu usingizi ukija saa asiyoitarajia goma linaitika anapotea.
Wanakera sanaaaaa , ebu ngoja nifungue mwingine nikutag,😂😂😂😂 tuone kama wana hasira zaidi yetu, wwanadhania wao ndio wnakerekwa tuHawa mods washatuleta huku Tena
Aiseee 🤣 🤣 🤣 🤣Wanakera sanaaaaa , ebu ngoja nifungue mwingine nikutag,😂😂😂😂 tuone kama wana hasira zaidi yetu, wwanadhania wao ndio wnakerekwa tu
Sija muona ila ni picha iliyo pigwa na simu nyingine , kwa hio kuna mpigaji hapoNamsemea niliyemuona, kwan Ww umemuona aliyepiga hy picha?
Uzi umeletwa nyumbani!Hawa mods washatuleta huku Tena
Wanajikuta Wanasave serversUzi umeletwa nyumbani!
Wenye pesa hawalali mkuu saa hizi wapo wanapanga mipango ya kesho.Wana JF walivyo na roho mbaya watakubia tafuta pesa upate usingizi 😂😂😂😂
Ila duuh hata mimi usingizi umekataa mkuu
Weka eye care, tumia taa ya mwanga hafifu chumbaniHivi hizi simu usiku bila mwanga wa taa ya kawaida macho si yana athirika sana
N kweli ila Ww unapaswa kuzingatia unayemuona na sio ambaye humuoni mana labla inawezekana n simu imetegeshwa tuu hakuna mtu wa pili hapo.Sija muona ila ni picha iliyo pigwa na simu nyingine , kwa hio kuna mpigaji hapo
Tuko wengi, japo ipo hapa karibu ni kuvuta kamba tuIla kweli!
Lakini mimi taa sijazima hata nikipitiwa na usingizi inabaki inawaka
Ila we Jamaa nime sikitika sana 😂 😂N kweli ila Ww unapaswa kuzingatia unayemuona na sio ambaye humuoni mana labla inawezekana n simu imetegeshwa tuu hakuna mtu wa pili hapo.
Nimelia sana mkuu 😭Ila we Jamaa nime sikitika sana 😂 😂