To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,213
- 65,824
Ooh sorry...nilijua unaimani piaKitimoto muhimu🙄😁
Ooh sorry...nilijua unaimani piaKitimoto muhimu🙄😁
Naungana na wakristo wote Leo ijumaa kuu hatuli nyamaOoh sorry...nilijua unaimani pia
Ila hii nadhani ni kwa watu wa RC pekee?Kama ni mkristo usisahau leo hatupaswi kula nyama...please
Safi🙏🏽Naungana na wakristo wote Leo ijumaa kuu hatuli nyama
Mi ni mmoraviani mbonaIla hii nadhani ni kwa watu wa RC pekee?
Basi wote tusile nyama tuanze keshoMi ni mmoraviani mbona
Ndiyo jitahidi bas tafadhaliBasi wote tusile nyama tuanze kesho
Sawa mammyNdiyo jitahidi bas tafadhali
Asante sana mukubwa
Mwanakondoo ameshindaMi ni mmoraviani mbona
Hapana sio mkorofi mbona ni kapole sana yaaniKakorofi hako ngoja kaje
Vin himselfHello 👋👋🤩😍 Raine Col
Kakorofi hako ngoja kaje
Sameja mi lioness(Hungry predator) nawinda Vincenzo Jr UsiyakanyageHapana sio mkorofi mbona ni kapole sana yaani
TumfuateMwanakondoo ameshinda
Unamaanisha mvua au upo kumwaga maji?
Mvua dearUnamaanisha mvua au upo kumwaga maji?
Kuna mgahawa mkubwa tu, sijui ni wakristo nao. Leo hawaja pika nyama kabisa 🤣🤓Naungana na wakristo wote Leo ijumaa kuu hatuli nyama