Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,227
Naamini umeamka salama piaStudent umeamka salama
Naamini umeamka salama piaStudent umeamka salama
Niko poa mkuu tunafurahia holidayNaamini umeamka salama pia
Usijali utafauluYeah Niko poa Kabisa...kipaper on Tuesday afu sielewi kitu yaan
Yeah so nice! Mi bado sijajiondoa kwa bed ....ila sasa hivi naamka nifue kidogoNiko poa mkuu tunafurahia holiday
Same to me nasubiri kuandaliwa hapa😎Yeah so nice! Mi bado sijajiondoa kwa bed ....ila sasa hivi naamka nifue kidogo
Hongera sana na ndiyo raha ya kuwa na mke mwelewaSame to me nasubiri kuandaliwa hapa😎
Kama ni mkristo usisahau leo hatupaswi kula nyama...pleaseUsijali utafaulu
Kitimoto muhimu🙄😁Kama ni mkristo usisahau leo hatupaswi kula nyama...please
Ooh sorry...nilijua unaimani piaKitimoto muhimu🙄😁
Naungana na wakristo wote Leo ijumaa kuu hatuli nyamaOoh sorry...nilijua unaimani pia
Ila hii nadhani ni kwa watu wa RC pekee?Kama ni mkristo usisahau leo hatupaswi kula nyama...please
Safi🙏🏽Naungana na wakristo wote Leo ijumaa kuu hatuli nyama
Mi ni mmoraviani mbonaIla hii nadhani ni kwa watu wa RC pekee?
Basi wote tusile nyama tuanze keshoMi ni mmoraviani mbona
Ndiyo jitahidi bas tafadhaliBasi wote tusile nyama tuanze kesho
Sawa mammyNdiyo jitahidi bas tafadhali