Hapo sawa wadau
Imetoka lini na star nani?Kuna mzigo mpya huu
Air force one down.....
Movies
Action?Kuna mzigo mpya huu
Air force one down.....
Movies
Daah majina sasa changamoto...Imetoka lini na star nani?
Ok poaDaah majina sasa changamoto...
Ila ni mpya 2024...
Star ni mdada tuu kama To yeye.😂😂..
Ni hatare na nusu
Ni action.. kali mnooooo an mnoooAction?
Kuna 'land of bad' nayo mpya afu kali
Fanya uichekOk poa
Land of bad nishaiona iko vzr sanaAction?
Kuna 'land of bad' nayo mpya afu kali
Wazungu, military settingNi action.. kali mnooooo an mnooo
Hii land of bad si korean au..?
Hii lazima nayo niichek aiseee hayo ndo mambo yanguWazungu, military setting
Iliisha vizuri sanaLand of bad nishaiona iko vzr sana
Haya nikipata bando
Imechezwa vzr sana ingawa nilijua wataondoka na yule mtoto wa tajiri aliyekimbia na yule mamaIliisha vizuri sana
Ewaaa hayo ndo mambo sasa mpe semina huyuYaan nimegundua anapenda mchakamchaka....fanya umchangamshe kidogo bas....hata akikosea jifanye huoni we mpetipeti tu atakaa sawa
Nilikua bize na sieijiii😁😎