Mfumo unawataka wao tu na watoto wao na si vinginevyo kwa sie tuliokulia katikati ya mifumo tuyajua hayo na kuyaona..kifupi kama hauko ktk huo mfumo ujue utabaki kuwa hoya hoya tu

Nikupe kitu..Ccm ina mfumo wakulindana wao kwa wao hasa wale vigogo

Lowassa alitaka kuwa raisi ili huu mfumo uwafikie wengi na ndio maana uliona Lowassa alipendwa sana maana yeye alitaka wote wafaidi hata kdg ..mbaya hakufanikiwa...Magu yeye alitaka kuvunja kabisa huu mfumo kilichomkuta wote tunajua ..leo kuna watu wanasifiwa amabao ni wale wale na Magu na EL hawapo ...kama hamko ktk mfumo mtabaki kulalamika na kuponda watu mitandaoni huku wao wanaishi vzr sana
Umesema sahihi Mkuu

Kama haupo kwenye circle yao hata uwe una madigrii manne huwezi kulamba teuzi

Hata Vijana wanaoshindaga mitandaoni kupigana spana za CCM&CDM huwa naishia kuwacheka tu maana hakuna wanapata humo.

Unakuta Kuna wenzao hata hawahangaiki na hizo kelele zao wao wanalamba asali tu somewhere nje ya Nchi ama ndani maana ni sehemu ya mfumo wao
 
Hahahahaha ngoja nikupe hii..kipindi fulani hivi niko scout primary zikatokea nafasi za kwenda scout Ureno ..ktk majina baadhi hatukuwepo maana vigezo vilikataa ila cha kushangaza mchujo tullipita ..hahahahahaha wenye sifa baadhi wakaachwa ..ingawa sikuenda hy safari nilikua naumwa ila ili angaliwa huyu nani ni mtoto wa nani
Hahaha...........lazima wajue circle yako ndiyo wakuingize kwenye system

Kama tayari upo kwenye mfumo wao, jitahidi uongeze sifa za ziada kidogo mfano vi-masters hata kutoka Open University ili Siku Moja upewe kitengo ukiongoze

Wengine ndiyo tunajaribu ku-penetrate maana hatukuwa na watu kati ila nategemea watoto wangu wataingia kwenye system as tayari nimeanza kutengeneza njia kwaajili yao
 
Hahaha...........lazima wajue circle yako ndiyo wakuingize kwenye system

Kama tayari upo kwenye mfumo wao, jitahidi uongeze sifa za ziada kidogo mfano vi-masters hata kutoka Open University ili Siku Moja upewe kitengo ukiongoze

Wengine ndiyo tunajaribu ku-penetrate maana hatukuwa na watu kati ila nategemea watoto wangu wataingia kwenye system as tayari nimeanza kutengeneza njia kwaajili yao
Safi sana hiyo ya watoto muhimu sana
 
Diha wangu nilijitahidi kumfanya awe wangu lakin wapi
emoji31.png
, huy ni sikio la kufa, hap maji yamenifika machoni na sio shingoni tena
emoji21.png
Shadow7
Ngoja nimpigie chenja moja Saameja katendwa ............(Anak..........) atamalizia mwenyewe chenja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom