Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,101
- 34,218
Umesema sahihi MkuuMfumo unawataka wao tu na watoto wao na si vinginevyo kwa sie tuliokulia katikati ya mifumo tuyajua hayo na kuyaona..kifupi kama hauko ktk huo mfumo ujue utabaki kuwa hoya hoya tu
Nikupe kitu..Ccm ina mfumo wakulindana wao kwa wao hasa wale vigogo
Lowassa alitaka kuwa raisi ili huu mfumo uwafikie wengi na ndio maana uliona Lowassa alipendwa sana maana yeye alitaka wote wafaidi hata kdg ..mbaya hakufanikiwa...Magu yeye alitaka kuvunja kabisa huu mfumo kilichomkuta wote tunajua ..leo kuna watu wanasifiwa amabao ni wale wale na Magu na EL hawapo ...kama hamko ktk mfumo mtabaki kulalamika na kuponda watu mitandaoni huku wao wanaishi vzr sana
Kama haupo kwenye circle yao hata uwe una madigrii manne huwezi kulamba teuzi
Hata Vijana wanaoshindaga mitandaoni kupigana spana za CCM&CDM huwa naishia kuwacheka tu maana hakuna wanapata humo.
Unakuta Kuna wenzao hata hawahangaiki na hizo kelele zao wao wanalamba asali tu somewhere nje ya Nchi ama ndani maana ni sehemu ya mfumo wao