Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,919
Lakini ndiye aliyekupa jina Vicenzo 🥴😁😂😁 Una afutatu hapo unitumie Mimi mdogo wako chagamba nataka kununua bando hapa nikirudi mwanza na Tikti yangu ya ndege hapa 😂🤣😁
Lakini ndiye aliyekupa jina Vicenzo 🥴😁😂😁 Una afutatu hapo unitumie Mimi mdogo wako chagamba nataka kununua bando hapa nikirudi mwanza na Tikti yangu ya ndege hapa 😂🤣😁
Sio kweli Hilo nimetoa kwenye series ya kikorea inaitwa VincenzoLakini ndiye aliyekupa jina Vicenzo 🥴
Hakuna ni hivi mkuu...kukomaa tu nayoYour worst relationship experience?
Namshukuru Mungu mpendwa , kizungu eti![]()



moto unawakaa
![]()



Sasa hivi nina ratiba ngumu, Ina bidi akili I focus Sana🤓05:32
🤣🤣🤣nimekuwa mpana ka sufuria la shughulina wew da kidoti upitwee basi
nimekuwa mpana ka sufuria la shughuli
na haufananii kuwa mpna hivyo hii kazi muachie Rain..🤣🤣🤣ngoja nipumzishe fuvu mie...na hakika Haya mambo si yangu Kabisayaaan ni tabu tupuna haufananii kuwa mpna hivyo hii kazi muachie Rain..
ngoja nipumzishe fuvu mie...na hakika Haya mambo si yangu Kabisa

baki kweny ukungwi sawa mahi
🤣🤣🤣sawa kipenzi😍baki kweny ukungwi sawa mahi
![]()
Usiku mwema10:01 PM Leo nimeona mtu ameweka lamination "ATM CARD" yake, Nimemuuliza umetoka mkoa gani? Amenijbu lakini siwezi kuwaambia maana mtasema mimi nawachukia watu wa mkoa wa Mwanza
Na kwako pia wanguUsiku mwema