Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Safi sana kama uko poa inapendezaš„“Niko poa Kabisa
Safi sana kama uko poa inapendezaš„“Niko poa Kabisa
PoapoaSafi sana kama uko poa inapendeza
Kazi njema..ukajenge taifaPoapoa
Najenga sasa?!š niponipo tu nasubiri wakosee niwachapešKazi njema..ukajenge taifa
Hahahahahaha...ndio kujenga hukoNajenga sasa?!š niponipo tu nasubiri wakosee niwachapeš
Yeah nadhani āš½Hahahahahaha...ndio kujenga huko
Unadhani wakati uko kazini ? Unatakiwa u enjoy kaziYeah nadhani āš½
Sawa..basi ngoja nienjoy mkuu.Asubuhi njemaUnadhani wakati uko kazini ? Unatakiwa u enjoy kazi
PoaSawa..basi ngoja nienjoy mkuu.Asubuhi njema
Habari za asubuhi my wangu ššš
Vincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?Habari za asubuhi my wangu ššš
Hahahahaha...DuhNaitwa To yeye talaka nilikupa usiku wa mananeš
Imekaa vzr sana hii..kupeana connectionVincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?
Kama yupo mererani Kuna kazi machimboni kama yupo mbagala Kuna kazi kiwandani kwa Azam chajuice kama kapitia JKT Kuna kazi za ulinzi Suma JKT kwa mwezi ni laki 3 hapa maeneo ya makumbusho kunatakiwa vijana wawili walinziVincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?
ššššššššššššNaitwa To yeye talaka nilikupa usiku wa mananeš
šššš¤šššššššššššš
Sawa nadhani mererani hiyoKama yupo mererani Kuna kazi machimboni kama yupo mbagala Kuna kazi kiwandani kwa Azam chajuice kama kapitia JKT Kuna kazi za ulinzi Suma JKT kwa mwezi ni laki 3 hapa maeneo ya makumbusho kunatakiwa vijana wawili walinzi
Sana Tresor Mandala ...,maisha ndiyo hayahaya...waweza mwona mtu ombaomba kumbe anashida kweli....But life goes onšImekaa vzr sana hii..kupeana connection
Ni kweli..mpk mtu anaomba ujue ana shida kweli..na shida haina mmoja yoyote humkumbaSana Tresor Mandala ...,maisha ndiyo hayahaya...waweza mwona mtu ombaomba kumbe anashida kweli....But life goes onš