Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,469
- 96,909
01:01 I mean no malice to nobody
Wazee wa kubadilisha ratiba ya kula
AmiinNawe pia
Tunaelekea kazini mkuu5:41 hii ndio mida ya kukagua lindo na kukuta walinzi wamelala
Ulikunywa kahawa?👁👁
00:37
Ulikimbia mapema sana mkuu00:25
Kwani na mikoani mnawahi kuamka kama wa Daslamu?Tunaelekea kazini mkuu
Nilibaki mwenyeweUlikimbia mapema sana mkuu
Yeah inafuatana na kituo cha kazi kilipo mkuu....kitamboo sipo kwa bedKwani na mikoani mnawahi kuamka kama wa Daslamu?