Saa 1 asubui ndo muda eeh🤣🤔Sisi wazee tuna muda wetu maalum
Ndio kwa sisi wazee wa makamo ndo muda ila kwa wale wengine ni saa 4 asubuhiSaa 1 asubui ndo muda eeh🤣🤔
Na Mimi nastaafu soon😂🤣Ndio kwa sisi wazee wa makamo ndo muda ila kwa wale wengine ni saa 4 asubuhi
Hufai kustaafuNa Mimi nastaafu soon😂🤣
Sasa mimi ndo nime tumikia Sera kwa muda mrefu, Tena kwa level kubwa Sana.Hufai kustaafu
Watanipa ubalozi maaana😀Aisee sawa toto 😄😄, ngoja qfl dodoma wata kuona 🤣
Hauja wahi kuibiwa kweli😂🤣Watanipa ubalozi maaana😀
Chuo niliibiwa Simu room nzima tulikua tumelala😀Hauja wahi kuibiwa kweli😂🤣
Hukulia toto😄, Usha zoea kuangalia watsaap 🤓Chuo niliibiwa Simu room nzima tulikua tumelala😀
Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu room😀 ila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwaHukulia toto😄, Usha zoea kuangalia watsaap 🤓
Aiseeee,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahahaha,Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu room[emoji3] ila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwa
Aisee wahuni sio watu, Hawa jui huyu pisi Kali, huyu mtoto wa mchungaji 😄Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu room😀 ila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwa
😀😀😀 walinikomesha, nilinunua nyingine ikaibiwa kwenye daladala(shuttle) nafika darasani sina simu😀Aisee wahuni sio watu, Hawa jui huyu pisi Kali, huyu mtoto wa mchungaji 😄
aisee mama kuibiwa😄, Soon nakuja kukuiba na wewe🤣🤣😀😀😀 walinikomesha, nilinunua nyingine ikaibiwa kwenye daladala(shuttle) nafika darasani sina simu😀
Sijakaa sawa kuna siku nimefua nguo hostel nikaanika nikaenda home kusalimia kurudi jioni, naona kamba tu nyeupee nilihisi naota ama labda roommates wamenianulia Hee, kumbe nimeshaibiwa hivyo nguo karibia zoote😀😀aisee mama kuibiwa😄, Soon nakuja kukuiba na wewe🤣🤣
Mimi niki ibiwa Nita sahau, ila kupoteza vitu muhinu kwangu ndo kitu kina niumiza Sana.Sijakaa sawa kuna siku nimefua nguo hostel nikaanika nikaenda home kusalimia kurudi jioni, naona kamba tu nyeupee nilihisi naota ama labda roommates wamenianulia Hee, kumbe nimeshaibiwa hivyo nguo karibia zoote😀😀
Si mngemchukua with you, Au ilikua mbali?Mimi niki ibiwa Nita sahau, ila kupoteza vitu muhinu kwangu ndo kitu kina niumiza Sana.
Tulikuwa na mbwa aisee he was so royal kuliko vitu vyote, tulivyo hama tuka muacha, that pains me till today.
Mkuu usiombe yakukute😀😀Aiseeee,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahahaha,