Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,445
- 96,848
Yaani saa 1 ndo Ume amka😄😂🤣, akati toka saa 11 watu wako macho🤣Nimeshaamka mkuu🙄
Yaani saa 1 ndo Ume amka😄😂🤣, akati toka saa 11 watu wako macho🤣Nimeshaamka mkuu🙄
Nilikuwa nalainisha silaha, isije pata kutu🤣😂Duh! Lindo lina mambo ulitaka kujichukulia sheria mkononi?
Tatizo machimbo mengi kuleJana nime kuwepo huko, lakini haja onekana😄😂.
Sera hizi🤣😂Tatizo machimbo mengi kule
Sisi wazee tuna muda wetu maalumYaani saa 1 ndo Ume amka😄😂🤣, akati toka saa 11 watu wako macho🤣
Saa 1 asubui ndo muda eeh🤣🤔Sisi wazee tuna muda wetu maalum
Ndio kwa sisi wazee wa makamo ndo muda ila kwa wale wengine ni saa 4 asubuhiSaa 1 asubui ndo muda eeh🤣🤔
Na Mimi nastaafu soon😂🤣Ndio kwa sisi wazee wa makamo ndo muda ila kwa wale wengine ni saa 4 asubuhi
Hufai kustaafuNa Mimi nastaafu soon😂🤣
Sasa mimi ndo nime tumikia Sera kwa muda mrefu, Tena kwa level kubwa Sana.Hufai kustaafu
Watanipa ubalozi maaana😀Aisee sawa toto 😄😄, ngoja qfl dodoma wata kuona 🤣
Hauja wahi kuibiwa kweli😂🤣Watanipa ubalozi maaana😀
Chuo niliibiwa Simu room nzima tulikua tumelala😀Hauja wahi kuibiwa kweli😂🤣
Hukulia toto😄, Usha zoea kuangalia watsaap 🤓Chuo niliibiwa Simu room nzima tulikua tumelala😀
Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu room😀 ila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwaHukulia toto😄, Usha zoea kuangalia watsaap 🤓
Aiseeee,Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu roomila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwa


hahahaha,Aisee wahuni sio watu, Hawa jui huyu pisi Kali, huyu mtoto wa mchungaji 😄Hahaa nilienda kulilia chooni mwenyewe ili nionekane strong kwa wenzangu room😀 ila maumivu yake si mchezo maana boom lote nilinunulia simu alafu ikaibiwa
😀😀😀 walinikomesha, nilinunua nyingine ikaibiwa kwenye daladala(shuttle) nafika darasani sina simu😀Aisee wahuni sio watu, Hawa jui huyu pisi Kali, huyu mtoto wa mchungaji 😄