Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,810
- 55,619
Arsenal wameshikiliwa hukoUsiku wa manane bado tulieni hovohivo tuwaangalie Barcelona na Arsenal 😂😂. Ndo tuendelee na lindo.
Arsenal wameshikiliwa hukoUsiku wa manane bado tulieni hovohivo tuwaangalie Barcelona na Arsenal 😂😂. Ndo tuendelee na lindo.
bwana amala yupo kwenye ghala tayariUsiku wa manane bado tulieni hovohivo tuwaangalie Barcelona na Arsenal 😂😂. Ndo tuendelee na lindo.
Wanepata golf bhanaArsenal wameshikiliwa huko
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 au mnataka mtoto wangu Felista aje alinde? baba wanasema wanasema mwambie CO na adjutant ndiyo waje walinde 🤣🤣🤣🤣🤣Niko Amara saivi cha ajabu hamna hata staff mmoja aliyejitokeza sasa sijui mnataka shangazi yangu atoke kijijini ndo aje alinde😂
Huyo tumuache si anapenda kazi yake kuliko sisi sote hapabwana amala yupo kwenye ghala tayari
Waongeze jingine wajihakikishie nafasiWanepata golf bhana
Leandro trossard
😂😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 au mnataka mtoto wangu Felista aje alinde? baba wanasema wanasema mwambie CO na adjutant ndiyo waje walinde 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂taratibu mazee, wamebanwa leo😅Waongeze jingine wajihakikishie nafasi
detail ni ya serengeti sa hivi subiri sa 0300 na kuendelea 🤣 🤣 ngorongoro acha kupenda wepesiMungu ni mwema sana
😏 😏00:41 sabuni mkononi, mkono mfukoni
So bado 1-0, namaanisha Uzi wa viwanja wame ila kichwa😄Nipo bro.. Arsenal wananichanganya uku