financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Yaani ndiyo naamka ila usiku wa leo nakesha tuone sasa nani atashindwa kutoboa😀😀00:35 Haya Kiko wapi😆😆, una koroma mpaka bati Lina tiki Sika
Yaani ndiyo naamka ila usiku wa leo nakesha tuone sasa nani atashindwa kutoboa😀😀00:35 Haya Kiko wapi😆😆, una koroma mpaka bati Lina tiki Sika
Daaah,nimetag kweli ilikuwa inagomaHello 🤩😍 mi amor 😘
🥰TeAmo 😍Hello 🤩😍 mi amor 😘
Aisee una taka kulia😆, mi ni mtu niliye kosa challenge humu😆.Yaani ndiyo naamka ila usiku wa leo nakesha tuone sasa nani atashindwa kutoboa😀😀
Tupo sana mkuu00:34 Shadow7, Kichwa Kichafu, Raine Col mko wapi Walinzi vilaza nyinyi!.
Mna achaje lindo tupu, au kisa mkubwa wenu Niko bize na holiday.
Nilikua lindo jukwaa la intelijensia kule 😎
Intelligent businessman alituwakilisha 😁hii midume Intelligent businessman Shadow7 Kichwa Kichafu mnajisikiaje mnakoroma tu mnalindwa na serengeti 🤣 🤣 🤣 lolote baya liwakute🤣🤣
😂😂😂05:42 mkubwa Shadow7, na Kichwa Kichafu kweli udalali ume walipa😆😃
Naam ruhusa zenu nili kuwa nazo, vijana wangu 😆😃Intelligent businessman alituwakilisha 😁
Hebu kale ukalale, mzee una Sera😆🤣Nilikua lindo jukwaa la intelijensia kule 😎
Sawa mkuu tukutane lindoniHebu kale ukalale, mzee una Sera😆🤣
Nipo kitambo Sana, nasubiri ku recruit vijana wapya.Sawa mkuu tukutane lindoni
Kwema kakaWana uzi habari za usiku
Megawatt zao za bwawa la nyerere gati no. 9. zmetumika na watanzania wengi mpaka walio vijijin na zimeshaisha sahv wanakusanya zingine.