Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
01:12
Watoto wa sikuhizi hizi juhudi mnazoweka kuchombeza mashangazi mngezihamishia kuitoa CCM. walah tungewakuta kwenye viti vya enzi pia 🤣 🤣 🤣 mxiiiiie kafwe mbele hukoLionel😄, ni vile tu we ni pisi Kali, ungekuwa una sura ya baba, ninge kutesa🤓
Naam bingwa wa ulinzi wa muda wote nipo, vijana wali force challenge Waka ishia kukimbia😄😄Hope uko poa. Jahazi hakika linasonga
🙏Msichoke kutenda mema🙏🏽
NakubaliNaam bingwa wa ulinzi wa muda wote nipo, vijana wali force challenge Waka ishia kukimbia😄😄
Serengeti ulionea huruma hii ngorongoro kumbe😃😃Ugua pole Elon. 😏 zingatia dose
Sema una penda😄😄, halafu ushangazi huo vepee🤔🤔Watoto wa sikuhizi hizi juhudi mnazoweka kuchombeza mashangazi mngezihamishia kuitoa CCM. walah tungewakuta kwenye viti vya enzi pia 🤣 🤣 🤣 mxiiiiie kafwe mbele huko
Huruma sio malezi 🤣 🤣 Ngorongoro awahi mbele maniajee🤣🤣🤣😍Serengeti ulionea huruma hii ngorongoro kumbe😃😃
Karibu kituo cha ulinziusingizi kushnei
Naamka na jf leoPamoja chief, nakaribisha challenge pia??.
Maana Lethergo ana mbwela m wela tu🤒
Wewe dogo Jana nimekunyoosha leo tena naenda kukunyooshaShida una Kelele ka mjamzito, kila siku naku twanga ila hukomi.
Mimi sioni haja ya kuweka challenge na mtu mwenye ubia na qfl dodoma🤒
ndio napenda Elon, utayakanyagaSema una penda😄😄, halafu ushangazi huo vepee🤔🤔
😅😅😅 Nimependa aseeHuruma sio malezi 🤣 🤣 Ngorongoro awahi mbele maniajee🤣🤣🤣😍
Leta ushahidi kenge wee, we si ume lala saa 8 ??Wewe dogo Jana nimekunyoosha leo tena naenda kukunyoosha
01:18
Dah 😄😂, Raine Col pisi ya kwenda bhana❤️😅😅😅 Nimependa asee
Intelligent tuanzishie na uzi na hili basi😅😅
Sawa ngoja tuoneNaamka na jf leo
🤣 🤣 🤣 Hutaki kumshauri vizuri mwenzako 🤣🤣😅😅😅 Nimependa asee
Intelligent tuanzishie na uzi na hili basi😅😅