Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 5,014
- 14,885
🤣 🤣 Kurutu lazma aharibu kazi muda wote anawaza kula na kulala Intelligent businessmanHaha lindo tumekabizi kuruti kwa muda
🤣 🤣 Kurutu lazma aharibu kazi muda wote anawaza kula na kulala Intelligent businessmanHaha lindo tumekabizi kuruti kwa muda
Afu we ni nani 😁😂🙄🤣 🤣 Kurutu lazma aharibu kazi muda wote anawaza kula na kulala Intelligent businessman
Kumbe wenzetu mna nashuka😂🙄, sisi hata nguo tulipewa kambini😂Mimi Serengeti nimekuja na shuka tu we unakuja na godoro kituo cha ulinzi why🤣🤣🤣 Shadow7
Haha huyu course kapigia RuvuKumbe wenzetu mna nashuka😂🙄, sisi hata nguo tulipewa kambini😂
Ngoja Ngorongoro waje hii sentensi uiweke vizuri
Ndo mkuje na godoro serious? 🤣 🤣 🤣 mmehamishia hanga kituo cha ulinziKumbe wenzetu mna nashuka😂🙄, sisi hata nguo tulipewa kambini😂
ningepelekwa pale ningerudi tu nyumbani niendelee na kazi. karibu kanembwa halafu Det mashamba ya mpunga wanawake tupu we huogopi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haha huyu course kapigia Ruvu
jamboooo mwili legeza usije kuanguka bure 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hamjambo walinzi
Ila kuruti, kuvuna mpunga mnaona mmepiga kazi sana?ningepelekwa pale ningerudi tu nyumbani niendelee na kazi. karibu kanembwa halafu Det mashamba ya mpunga wanawake tupu we huogopi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe Kuna kulinda kwa godoro?Ndo mkuje na godoro serious? 🤣 🤣 🤣 mmehamishia hanga kituo cha ulinzi
Mliokuja na magodoro kituoniKumbe Kuna kulinda kwa godoro?
Kweli mchovu Sana, Jana kakata ringi mapema😁😁😂Haha huyu course kapigia Ruvu
Akati hiyo kazi, hata dogo was miaka 10 ana piga😁😂Ila kuruti, kuvuna mpunga mnaona mmepiga kazi sana?
Hujaridhika na excuse yangu Boss elon 😓Kweli mchivu Sana, Jana kakata ringi mapema😁😁😂
Mi jobless pro max tu,Hujaridhika na excuse yangu Boss elon 😓
sio wavaa skin na vinjunga wa town 🤣 🤣 🤣Akati hiyo kazi, hata dogo was miaka 10 ana piga😁😂
We tulia 😂😁sio wavaa skin na vinjunga wa town 🤣 🤣 🤣