Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,919
Ngughanile Kalumbu ghwangu.....manyila manyilaaaa.....Ndagha nkamu kyala akusanjheghe😂
Ngughanile Kalumbu ghwangu.....manyila manyilaaaa.....Ndagha nkamu kyala akusanjheghe😂
Budge ikaeje matron?Sana mwana.....happy new year to you too man......Budge iweke vizuri
Asante na kwako piaHeri ya mwaka mpya mkuu wa mikeka
Weka kila kitu kwenye budget poa ili mwez huu na wa Pili mambo yasibane sana ukaanza tia hurumaBudge ikaeje matron?
unataka kuona sura yangu?Asante na kwako pia
Sura yako siioni, sijazoea hivyo
Thank you so much dear.😘😘😘😘😘thank youu....happy new year to you too man.....
Kuvuka mwaka bila kutenda dhambi si kitu chepesi aisee......Glory to God....Leo nyapu imeponea chupuchupu...dadekiii.....
Oyoooooooooooooo😁
Line ya pili ni nzuri, japo sikumaanisha hivyounataka kuona sura yangu?
au unataka niseme 'heri ya mwaka mpya batamzinga'😂
Christmas pia niliponea kidogo tuuu....sema wananikuta sijawaka mwili😉💆Thank you so much dear.
Ila si ulidhanmmiria 😂, leo moto ungewaka haswa
Tufanye huu mwaka usiwake mwili kabisa 😂Christmas pia niliponea kidogo tuuu....sema wananikuta sijawaka mwili😉💆
Maccabi kanichania mkuuHeri ya mwaka mpya mkuu wa mikeka
Hatimaye tumeuona furaha yangu na wewe upo poaNipo hapa Plan....nasubiri muda ufike ndiyo nitoke sasa![]()
Mshukuru Mungu yote ni kwa mapenzi yakeDjjjjjjjjj......waleteeeee
Nipo kwenye trend
Nasishuki ng'ooo!
Oyoooooooo![]()
Amina Mkuu,vp mwaka huu umeendaje?☺Mshukuru Mungu yote ni kwa mapenzi yake
🫢🫢🫢Ngoja nifanye kiapo cha kuacha kupiga nyeto Leo....
Oyooooooooooooooo![]()
AAA, hii imeenda hii.....mwaka wa malengo makuuTufanye huu mwaka usiwake mwili kabisa 😂
Umeuanza vizuri mno
Sawa Dr kwa ushauri wakoKula mayai ya kuchemsha utalala tu, kama mimi hapa nimeshajikulia zangu manne usiku huu nataka kulala sasa![]()
Utaweza? Baridi kidogo tayari unasaliti malengo yakoAAA, hii imeenda hii.....mwaka wa malengo makuu
Kweli mkuu kama vip nao uishe tuHuu mwaka unaenda kikomando sana, imagin saivi tu dk kibao zishakata🤣
😂😂😂😂Huu mwaka unaenda kikomando sana, imagin saivi tu dk kibao zishakata🤣