JamiiForums Usiku wa manane
Mi nilijenga kwa mama,ivo wapangaji anadeal nao mwenyewe....kodi hawamsumbui ila uchafu chooni ndiyo Mara nyingi naona wanamzingua.....Yangu sijajenga bado nimepanga japo kiwanja tayari.
Dahh pia hata mimi mara ya kwanza nilimpa mdogo wangu awe anakusanya kodi lakini nilikula za vichwa pesa ilikuwa haifiki kwangu
 
Back
Top Bottom