Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,219
- 6,305
Ni vipi jamaaHatimae kumekucha sasa.
Ni vipi jamaaHatimae kumekucha sasa.
Ndiyo,napenda sana magimbi.Lete mafekeche sasa mkali.
Vipi unakulaga magimbi?
Kama kawaida mkuuNi vipi jamaa
Amani itawaleKama kawaida mkuu
ndo mpaka upike saizi? kula mkate🤣Mimi ni mtoto wa mama, njaa
Nitakutumia ramadhan mfugo.Ndiyo,napenda sana magimbi.
Nilikula mkate nikalala, nimeamka yaani njaa, hapa nasonga kaugali kadogondo mpaka upike saizi? kula mkate![]()

Magimbi ya wapi??Nitakutumia ramadhan mfugo.
Wewe unafunga au unarusha mpira?
Ngoja waje wanaotumia mkuuHivi huu mtandao wa airtel mnauelewa kweli?!
Mkoa gani?Shambani mkali
Wee unataka ya wapi?
KilimanjaroMkoa gani?
Airtel umekuwa mtandao wa hovyo sana....pamoja ana app ya jFNgoja waje wanaotumia mkuu
Legend huyoNipsey Hussle
Grinding all my life
Utanitumia,niyachemshage.Kilimanjaro