nyashi vipi ipo ?Hivi ni nyash au Nyansh?
Nakuaminia ndugu yangu. Mungu yupo pamoja nawe.. 🔥🔥🔥
😂 sijui hatanyashi vipi ipo ?
😅😅😅 ebu tuone kama nyashi ipo😂 sijui hata
Nakuaombea Pastor wako hapa 😅😅Atubariki nipate ka hizi risiti elfu 50🤣😂😂
View attachment 2742294
Sadaka uta subiri soda 🤣😂Nakuaombea Pastor wako hapa 😅😅
😅😅😅😅 fungu la kumi mie natakaSadaka uta subiri soda 🤣😂
Utakunywa capucino 1 mojaa Mwaka🤣😂😅😅😅😅 fungu la kumi mie nataka
Kiwanja kipyaaaaaaa tujisnapeeeeeee kesho najisnapeee kwenye jukwaa la siasa hakuna namna![]()





nyashHivi ni nyash au Nyansh?
Saint Anne marie naona unacheka tu leo 😄 hivi lile swali lako kulee walikujibu 😆
Watu wame pagawa 🤣😂😂, raraa reree Hiyo itakuwa balaa🤣
Usingizi kwangu sio starehe, Na kama Ukiona nimelala basi kichwa kinawaza mipango tu,Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Melo alituliza tu moto.
Mimi mwenyewe selfie zangu nazihamishia sports na siasani.