JamiiForums Usiku wa manane
Mbona umepanic au ndio njia yako ya kulala?Ninavyojua chainisi na tembele ni ndugu
Ama kweli huko kuna mambo! Hivi ni anga gani hizo za juu ili na mimi nije nipate hiyo misamiati. Isije ikawa anga za giza. Yaani mi nikitaka kulala napanic! Asalaleh!!!! Mi nilikuita Chinese kwa sababu ya picha ya avator yako na siyo mboga za muhimbili pale bonde la msimbazi.
 
Ama kweli huko kuna mambo! Hivi ni anga gani hizo za juu ili na mimi nije nipate hiyo misamiati. Isije ikawa anga za giza. Yaani mi nikitaka kulala napanic! Asalaleh!!!! Mi nilikuita Chinese kwa sababu ya picha ya avator yako na siyo mboga za muhimbili pale bonde la msimbazi.
Ndo unataka kulia eti?Basi yaishe nikifika on earth ntakutembelea unione mimi ni mwafrika mweusi tiii
 
Ndo unataka kulia eti?Basi yaishe nikifika on earth ntakutembelea unione mimi ni mwafrika mweusi tiii
Mi sitoi machozi hata ya mamba ni rahisi kuyaona, ni bahati mbaya tu we siyo wa pande hizi kwa hiyo huwezi elewa. Siku ukija utagundua kuwa tunapishana siyo masaa pekee yake, lakini hadi siku.
 
Back
Top Bottom