Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
nataka uniboee mana usingz unagomaHatupoi, hatuboiiiii
nataka uniboee mana usingz unagomaHatupoi, hatuboiiiii
sawa dada kwani leo ujaenda kudangaSawa Dada angu...
Ila kumbka tunategemewa
Mi sio Dada mi Mwanaumesawa dada kwani leo ujaenda kudanga
mi pia kidume mkuu nipo doriaMi sio Dada mi Mwanaume
Niko kazini muda huu nasebenza
Kazi nzurimi pia kidume mkuu nipo doria
HakikaKazi nzuri
Tujenge Taifa letu
Naam tupo kibaruani kusaka tongeWakuu mpoo!
Wakuu mpoo!
03:30
Hahaha 03:33Washachukua usingizi wao aisee
Saa tisa hujalala au ni mkesha mtoto anakusumbua dear?😀03:30
Safi sana, wengine ndiyo tunaelekea kibaruani now.Naam tupo kibaruani kusaka tonge
Siku hizi hasumbui analala, sema akiamka kunyonya saa 7 au 8 hadi amalize na mimi usingizi unakata kabisa mpaka niutafute saa zima au sipati kabisa hadi kunakucha.Saa tisa hujalala au ni mkesha mtoto anakusumbua dear?[emoji3]
Siku hizi hasumbui analala, sema akiamka kunyonya saa 7 au 8 hadi amalize na mimi usingizi unakata kabisa mpaka niutafute saa zima au sipati kabisa hadi kunakucha.
Mdogo ana 4 months.Mtoto mkubwa au mtoto mdogo