JamiiForums Usiku wa manane
Kuvunjwa ni moja, tatizo kubwa ni haka ka android nilikopewa kama zawadi na manzi wangu kabla wajanja hawajanitaifisha. Wakati wazee wa intelijensia watakapoanza kutawanya watu, naogopa vibaka wasije kujificha kwangu, maana waliniona wakati na jf saa sita.
kumbe ka androd kenyewe kakupewa....wakijibinafsisha utasamehe kama ulivyosamehe waliomtaifisha huyo manzi wako
 
Back
Top Bottom