Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,844
- 6,692
Namshukuru Mungu lindo liko swalama
Nakula mihogo, inakaba😢leo umewahi kuamka😂
Nimeacha, naona nashiba maji tu😂😂😂unatakiwa uwe na chupa ya maji hapo pembeni😂
Sideki, ila chakula unakula na maji yapo pembeni🥴. Ila ni mitamuaisee unajua kudeka🤣
Na mizizi ifanye nini 🤔, ili iache kuliwa na nyinyi😂😂😁tutafte hela tuache kula mizizi🤣
Kwani Tunao kesha, tuna Mambo kidogo au sio😂😂.nashindwa kukesha skuizi nina mambo mengi
besides, dahan hayupo lindo halinogi
Tunaomba uendelee kula mizizi, coz una ki under rate hicho chakula kipuuzi Sana😂😂italiwa na maskini waliobakia😂
Wakishua mna tabu😂😁😁Nimeacha, naona nashiba maji tu😂😂😂
Kafie mbelee😂😂😂
My coach mida hii SI ndo ya kunipa simple jogging 😁🤒Present japo for late
Boga la kichina wewe😂😁04:56
🤣🤣Kazi za watu watanifunga mieMy coach mida hii SI ndo ya kunipa simple jogging 😁🤒
na Dahan au .. au kateuliwa kuwa DC na hatujuiKafie mbelee😂😂😂
Kafie Banda la nguruwe😂😁😁,na Dahan au .. au kateuliwa kuwa DC na hatujui
Mimi sio wakishua ujueWakishua mna tabu😂😁😁
Kupika tu msalaaaa😁😂😂, mihogo Una toa Hadi machozi😁😂😂Mimi sio wakishua ujue
Jogging yetu private, my coach😁🤣🤣Kazi za watu watanifunga mie