JamiiForums Usiku wa manane
Kama unazurura mtaani saa hizi,Basi unamendea Flat screen zetu au kupiga chabo mechi za watu.
Huku kwetu bado pori, nilikuwa nimefata kidemu changu nikipeleke gheto. Ujue kinaogopa fisi hahahaa.....
 
Ila kama upo Mbagala mpenzi wako yupo Gongo la mboto, Hiyo nayo ni Long distance Relationship ..
 
Watu wengine waache pombe tu mtu kalewa analia tumpeleke kwenye kaburi la bibi yake huko makete njombe
 
Unajua kabisa huna Pesa ya Kuhonga, halafu unatongoza Wanawake! Ili iwaje sasa?
We jamaa umechanganyikiwa au vipi? Ivo vimemes vyko vya twitter unatuletea hpa ili iweje? Hlf mda bado humu ndani wa hili jukwaa kua active
 
Back
Top Bottom