Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
02:23
Kuna mdada nahisi atanitoa roho we chizi🤣🤣🤣Chizi karogwa tena 😂😂😂😂😂 bado wawewesekaga? Huwa simuachi mtu salama 🤣🤣🤣🤣
Weee umefall wapi tena rafiki? Nionyeshe wifi yangu basi 💖Kuna mdada nahisi atanitoa roho we chizi🤣🤣🤣
Wow wow siyo mdogo wangu Dahan kweli? Mbona sifa zote zinamdondoke. Nimefurahi rafiki umepata tulizo la moyo wako 🙏Daaah yaani huyu dada natamani ndio ningeanza naye dunia ingekuwa mbingu yangu asee.
Mtoto ni mzuri, lips, rangi, sauti, ...komesha ni ana roho nzuri si ya dunia hii🤣🤣🤣
Hongera sana tule ubwabwa sasa, mbona nitakuja huko.Unaanza kuwanga sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Nikwambie kitu?
Sasa mke ninaye...ameusaga moyo tikitiki...mtoto yuko romantic hatari😍😍😍😍😂
Hujalala bintiNadhan
NakusalimiaHongera sana tule ubwabwa sasa, mbona nitakuja huko.
MmmhChizi karogwa tena 😂😂😂😂😂 bado wawewesekaga? Huwa simuachi mtu salama 🤣🤣🤣🤣
Naona wakubwa wako ktk maongezi, nikojoe nirudi kulalaWow wow siyo mdogo wangu Dahan kweli? Mbona sifa zote zinamdondoke. Nimefurahi rafiki umepata tulizo la moyo wako 🙏
Umemisika, salamu nimeipokea mtu chakeNakusalimia
Nipo Rafiki ,nakumiss pia,naona mko ktk maongezi kdgUmemisika, salamu nimeipokea mtu chake