Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,734
- 3,310
Hahahahaha aya Kazi kwenu wakuuTeam ya mtu 2 Lindoni.
Hahahahaha aya Kazi kwenu wakuuTeam ya mtu 2 Lindoni.
Ukikamata vibaka apo, nguvu kazi ipo mkuu. Tuko Doria wakuu.Ndio mkuu sametimes huku ni vigumu kuwatambua vibaka wakitaka kuiba maana wanajichanganya na raia hivo mda wote uwe macho hasa hizi weekend mkuu
Naam mkuu wa kikosi Kazi ndio AfandeUkikamata vibaka apo, nguvu kazi ipo mkuu. Tuko Doria wakuu.
Juliana 1😀😀😀😀Me Niko Kariakoo, mtaa wa Congo, nataka niingie gogle map nikapaone Apo wanapopaita Africana
Ndio afandeAz wea (as you where) Afande. Ulinzi uimarishwe mpaka mitaa ya JamiiForum Usiku wa manane, maana huu mtaa wote wamelala
Mnh io saaa 😀😀😀😀Nikiripot live kutoka madagascar saa 1;5
Ulizi shirikishi nao pia wanashirikishwa kushiriki operation usiku wa mananeAz wea (as you where) Afande. Ulinzi uimarishwe mpaka mitaa ya JamiiForum Usiku wa manane, maana huu mtaa wote wamelala
😅😅Huamini hyo saa au huniaminin mm..?Mnh io saaa 😀😀😀😀
Nipo MkuuBirthday mate's wa June 19 hatupo humu.
Nyote😀😀😀😅😅Huamini hyo saa au huniaminin mm..?
Leo umeweka neti?😀😀😀😀Ulizi shirikishi nao pia wanashirikishwa kushiriki operation usiku wa manane
😅😄😅Wabongo wabishi sana nyinyiNyote😀😀😀
Wapi hukoo