mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
jichue kimoja tu usingizi utakuja😂Asante hapa napambana nilale tena kivumbi naweza toboa mpaka saa 11![]()
jichue kimoja tu usingizi utakuja😂Asante hapa napambana nilale tena kivumbi naweza toboa mpaka saa 11![]()
jichue kimoja tu usingizi utakuja![]()



sina mood hiyo leo Kiongozi mzigo niliushusha juziMimi ndo maana uwa nazima Simu usiku huyu kaniotoea kwenye simu nyingine sikuizima nilikuwa nimeshalala toka saa mbili alafu kapiga anauliza Niko wapiNdio ubaya wa usingizi ukishaamka kuupata tena mtihani, mimi nilikuwa nasinzia kabisa sitting room kitendo cha kuhamia chumbani usingizi umekata kabisa.

trudie USI msikilize, huyu kenge mshamba_hachekwi ni mnafiki wa karne😂😂We mwache na yeye nitatia mgomo kwenye birthday yake sitampa zawadi kabisa
trudie Niko nanjilinjii mwaya🤓Sijambo, naona lindo limeshamiri amekosekana Intelligent businessman sijui yupo Mlimani City anaheinkenika tuuu
I bear no malice to anyone😀I mean no malice to nobody
sijambo😂 za kupoteaMarhabaaa haujambo.... 😂
Nipo mie nimejaa tele 😀😀😀au ulitafuta ukakosa😂😂sijambo😂 za kupotea
mi nakuonaga tu humu😂 una mda huonekani lindoNipo mie nimejaa tele 😀😀😀au ulitafuta ukakosa😂😂
Lindo nimemuachia Poor Brain kidogo😂😂😂😂mi nakuonaga tu humu😂 una mda huonekani lindo
Weekend goodAisee😂😂😂, sielewii
Poor mwenyewe sasa alitekwa aiseeeee ahahahaLindo nimemuachia Poor Brain kidogo😂😂😂😂
Hata sishangai kwakwel😂😂😂Poor mwenyewe sasa alitekwa aiseeeee ahahaha
Mlienda kufanya ibada lakini...?Hata sishangai kwakwel😂😂😂
Hii muhimu...Mlienda kufanya ibada lakini...?
Vizuri sana aiseeeeee.....Hii muhimu...
nipo na shemeji yako hapa si unajua tena weekend