Una lima nini mkuuš¤,niko kijiji hum naingia kwa manati
Mibangi ya vijanaššKumekucha bado ?
Aiseeššš, sielewiiWeee unavoona upo huru kijana šššš
haha sijakuelewaš¤£Una lima nini mkuuš¤,
Nauliza uko kijijini, umeenda kulima ???haha sijakuelewaš¤£
haujambo??01:17 lindoni rasmi
Sijambo, naona lindo limeshamiri amekosekana Intelligent businessman sijui yupo Mlimani City anaheinkenika tuuuhaujambo??
anaogopa kujitokeza alikataa kuchanga zawadi ya birthdayšSijambo, naona lindo limeshamiri amekosekana Intelligent businessman sijui yupo Mlimani City anaheinkenika tuuu
Asante hapa napambana nilale tena kivumbi naweza toboa mpaka saa 11pole


We mwache na yeye nitatia mgomo kwenye birthday yake sitampa zawadi kabisaanaogopa kujitokeza alikataa kuchanga zawadi ya birthday![]()
Ndio ubaya wa usingizi ukishaamka kuupata tena mtihani, mimi nilikuwa nasinzia kabisa sitting room kitendo cha kuhamia chumbani usingizi umekata kabisa.Asante hapa napambana nilale tena kivumbi naweza toboa mpaka saa 11![]()