The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,352
- 103,646
Aisee.
MbogweUnatoka wap
0-2 🔥🔥🔥Kama wewe si mtoto wa Jangwani ni VAVAVAYO tu
Watoto wa Jangwani piga keleleeeeeeeeeeeeeeeee
Tunapindua jamvi Algeria
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Leo nipo sinzaaa 😅😅😅 madada wamedungasha baraaa hapa kurudi home kesh kutwaaaWewe binadamu unalalaje weekend? Hunywi, hushabikii mpira, sasa una raha gani hapa duniani?
Taja DJ wako hapo ulipo...
Anakiwasha????
Anazingua???
Anaipaisha Yanga???
DJ nyokonyoko weweeeee ongeza sauti wewe vavayo
Big Flexa 🔥🔥🔥🔥Maswali mengi kwa waiter huna hela nini?
Piga kelele kama Bank A/C ina digit za kutosha...
Piga kelele kama unakunywa kinywaji, cha bei nyoko nyie
Wewe dunduka FC huwa hamna hela hiyo timu. Lala acha kupiga chabonyumba niliyopanga jirani kuna gest.nakula burudani tu hapa ya miguno.
Kijana unalale uzeeni ufanyaje? Kula maisha Ankol. Mkesha wa kupokea kombe piga keleleeee kama pochi limetuna, ulipo kuna vibe kama nilipo wewweeeeeeee mpaka kukuche.Leo nipo sinzaaa 😅😅😅 madada wamedungasha baraaa hapa kurudi home kesh kutwaaa
😅😅😅😅 hapa ni 🔥🔥🔥🔥 watoto wakali kinoma sema hawakufikii wewe aunty yangu mzuriii... wanatuchuna tuKijana unalale uzeeni ufanyaje? Kula maisha Ankol. Mkesha wa kupokea kombe piga keleleeee kama pochi limetuna, ulipo kuna vibe kama nilipo wewweeeeeeee mpaka kukuche.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Panda juu ya meza hapo ulipo
Mama aminaaaaaaaa jibu kmmk
Kazi ipo, 😝😝😝Kijana unalale uzeeni ufanyaje? Kula maisha Ankol. Mkesha wa kupokea kombe piga keleleeee kama pochi limetuna, ulipo kuna vibe kama nilipo wewweeeeeeee mpaka kukuche.
Sinza mbona ndo kitovu cha pisi kali dsm, hamna ubishi hapo😅😅😅😅 hapa ni 🔥🔥🔥🔥 watoto wakali kinoma sema hawakufikii wewe aunty yangu mzuriii... wanatuchuna tu
I miss you so much mdogo akeKazi ipo, 😝😝😝
Shukran auntiee hii wiki nimekula za uso, huku chuo, 😝😝😝😝😝I miss you so much mdogo ake
Niko happy umerudi. Karibu