JamiiForums Usiku wa manane
🤣🤣🤣Kuna mwingine kasema muda wa kuvusha housegal🤒
Nimembuka kitambo wakati TOT Band Mbeya wanapiga live Band Makasini Bar, kuna Brother wangu mmoja alikuwa anasema mida ya kufunga ndio muda sahihi wa kumuibia mke mdogo yule kiongozi wa Bendi Mwalimu Mng’ong’o alikuwa na wake 4 wote anaimba nao bendi akiwa anarudi anawapakia kwenye gari yake Baloon
 
Nimembuka kitambo wakati TOT Band Mbeya wanapiga live Band Makasini Bar, kuna Brother wangu mmoja alikuwa anasema mida ya kufunga ndio muda sahihi wa kumuibia mke mdogo yule kiongozi wa Bendi Mwalimu Mng’ong’o alikuwa na wake 4 wote anaimba nao bendi akiwa anarudi anawapakia kwenye gari yake Baloon
🤣🤣🤣🤣Inachezwa Kila jumamosi🤗
 
Back
Top Bottom