YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Sichelewi nn tena 😆🤔Ahaaa vizuri.. Maana hauchelewi 😀😀😀
Sichelewi nn tena 😆🤔Ahaaa vizuri.. Maana hauchelewi 😀😀😀
Afu sasa ndo unatakiwa uamke uende kwenye majukumuNi kupambana tu, na kuelekea Alfajir baridi huwa linafika kwenye peak![]()
inaboa...Lete stori angalau tusogeze masaa....nimeshakaribia mkuu
Tunawalaumu bure tu walinzi, na kibaridi hiki ukipata chocho la kupashia joto....unatelekeza Tu Lindo🤣🤣 maelezo tutatoa asubuhi.Hapa ndo utaona umuhimu wa Morning glory 😂😂😂😂
Bro hujalala kesho itakua ndefu kwakoSichelewi nn tena![]()

Walinzi wote ninaowajua wanavuta sigaraTunawalaumu bure tu walinzi, na kibaridi hiki ukipata chocho la kupashia joto....unatelekeza Tu Lindomaelezo tutatoa asubuhi.

Mi ratiba zangu hazini ruhusu nilale usiku mkuu nalalaga saa 1 asb mpaka saa 7 😁😁😁.Bro hujalala kesho itakua ndefu kwako![]()
Na wakipata vimchepuko karibu na Lindo hawalazi damu🤣🤣🤣.....utasikia Yule mlinzi hakaagi Lindo usiku kuchaaa🤣Walinzi wote ninaowajua wanavuta sigara![]()
Kila mtu skuizi ana mwanasheriaMwanasheria wangu pia hayupo.. Hapa ninyamaze tuu![]()


Aisee we muhuni sanaMi ratiba zangu hazini ruhusu nilale usiku mkuu nalalaga saa 1 asb mpaka saa 7.
Si unajua sijaajiriwa mimi![]()

AiseeNa wakipata vimchepuko karibu na Lindo hawalazi damu.....utasikia Yule mlinzi hakaagi Lindo usiku kuchaaa
![]()
si bora ufuge tu mbwa yaishe....🤣🤣🤣 Sa mbwa atakufungulia geti asubuhi na kukabidhi Lindo?Aiseesi bora ufuge tu mbwa yaishe....
Unavojua kazi ya sigara tena mwilini😂😂😂Walinzi wote ninaowajua wanavuta sigara![]()
Mwizi akija na mlinzi yuko kwa mchepuko?? Si nakufaSa mbwa atakufungulia geti asubuhi na kukabidhi Lindo?

Eehh maendeleo chilonda😂😂😂Kila mtu skuizi ana mwanasheria![]()
Sigara, pombe kali ndo mambo yao...Unavojua kazi ya sigara tena mwilini![]()

Acha kutoa siri za kambi mkuu😂😂😂Sigara, pombe kali ndo mambo yao...
Wengi wanaingia kazini na mashuka kabisa ya kujifunikia![]()
Kuoga😃Sichelewi nn tena 😆🤔
Huezi jua labda kuna mlinzi humu huu ushauri ukamsaidiaAcha kutoa siri za kambi mkuu![]()

😯🤫🤫🤫🤫🤫🤫Kuoga😃