Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,694
Maeneo hayo hayoMzee uyo mwalimu Kama vile nampata,hiyo shule iko Moshi?
Maeneo hayo hayoMzee uyo mwalimu Kama vile nampata,hiyo shule iko Moshi?
Itakua wote katufundishaMaeneo hayo hayo
Ngoja niandae vijana tumshughulikieNipo mkuu 😅😅. Dahan yupo China kikazi, kuna contena lake la vipodozi anataka alilete Tz 😅😅😅
Ni mudaNichukue fursa hii kuwakaribish wote muanze kusogea eneo la lindo tafadhari[emoji12]
Ni muda
Yap...muim kuingia mzigoniHakika mkuu, vipi umebeba zana za kazi au ndo kujiamini jeshi la mtu mmoja
Haya sasa baada ya kushuhudia kinyumenyume fc akihukumiwa kifo mbele ya Wydad ni muda sahihi wa kusogea lindoni
Sjui kaa ntatoboa lakini.....nmeshiba balaa afu nimekaa kitandani[emoji23]Karib sana mkuu tayl tushafungua dimba na # mshamba hachekwi# tunawasubili mjongee
Sjui kaa ntatoboa lakini.....nmeshiba balaa afu nimekaa kitandani[emoji23]
Sio hivo tu.....si unajua mwanaume rijali akishiba kinachofuata??[emoji23]Em amka ulaze ilo tumbo sakafuni kazi iendelee,, hahaa japo shibe nayo ikikuamlia asee hauchomoki unaweza kusinzia bila kujielewa
Mkuu naona stoboi hapa hii Ngoma ntairudisha mbele mbele ukoOn your way mkuu tunakuzooom kwa mbali
Sio hivo tu.....si unajua mwanaume rijali akishiba kinachofuata??[emoji23]
Nikifanikisha lazima nilale
Mapema sana kurudisha mpira kwa kipaMkuu naona stoboi hapa hii Ngoma ntairudisha mbele mbele uko
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] kazi na dawa au sio, sema nini usiache kuaga wana lindo
Mkuu naona stoboi hapa hii Ngoma ntairudisha mbele mbele uko
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app