Ukifuatilia Adhana hutochelewa mambo yako kabisaaa mna utadamka mapema mnoo05:09
Naishi karibu na Msikiti usishangae ninavyofuatilia Azana za asubuhi
🤭Mambo haya wajameniAdhana mkuu sio hazana
0447
Niliamka ila hata simu sikueza ishika kichwa lilikua kiziti sana tangu nalala,uzee unaninuemeleaUlisema saa 9 umeamka ?
01:09
Najiandaa nikawinde ndege, ili nisonge hata ka ugali mkuuMkuu Intelligent businessman umepoteana kabisa huonekani wewe mwizi Kuna mtu anataka akupe tender huku why njoo
Mtu fukara mjingaNajiandaa nikawinde ndege, ili nisonge hata ka ugali mkuu
Mkuu Superbug Mbona una makasiriko Kama umekosa uji wa msibani. O Bantu Lady, Poor Brain, stow away, National Anthem, na Mzee wa kupambania, na Analyse mlimkosea nini huyu pisi Kali ya kihayaMuda wa kuhangaika na bahasha usiku mtusumbue 01:78 watoto walalao Kwa mashemeji nyie!
Ehh Superbug hebu weka namba ya simu, tukusaidie hata hela ya kulaaa tajiri wa mchongoMtu fukara mjinga
Ila we ni mkali zaidi yetuuuWote kwenye huu Uzi ni malofa
Wote kwenye huu Uzi ni malofa
Uzee upi tena huo mkuu mamayeyo ?Niliamka ila hata simu sikueza ishika kichwa lilikua kiziti sana tangu nalala,uzee unaninuemelea
Uyu kaona watu wa humu wengi ni maarufu kwahiyo anataka kusafiria umarufu wetu pleas msijibu mta mpa umaharufu Intelligent businessman stow away Bantu Lady Analyse Mzee wa kupambaniaUzi wa watu wenye usonji
Ngoja tumpotezee mjinga mmoja anakuja kutusumbua ignore inamhusuUyu kaona watu wa humu wengi ni maarufu kwahiyo anataka kusafiria umarufu wetu pleas msijibu mta mpa umaharufu Intelligent businessman stow away Bantu Lady Analyse Mzee wa kupambania
Tumuache aongee atakavyo. Ama tumreport kwa wingi, hizo comment zake. Afungiwe huu uzi asiguse.Uyu kaona watu wa humu wengi ni maarufu kwahiyo anataka kusafiria umarufu wetu pleas msijibu mta mpa umaharufu Intelligent businessman stow away Bantu Lady Analyse Mzee wa kupambania
Nimemtia ignore tayari sitaki kuona uchafu wake popotetumreport kwa wingi, hizo comment zake. Afungiwe huu uzi asiguse.
Ngoja tufanyeTumuache aongee atakavyo. Ama tumreport kwa wingi, hizo comment zake. Afungiwe huu uzi asiguse.
Hata kum-quote umempendelea 😅😅Uyu kaona watu wa humu wengi ni maarufu kwahiyo anataka kusafiria umarufu wetu pleas msijibu mta mpa umaharufu Intelligent businessman stow away Bantu Lady Analyse Mzee wa kupambania