Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,743
- 6,283
Oky.. Sema😆Ni msemo tu🤣🤣🤣
Oky.. Sema😆Ni msemo tu🤣🤣🤣
Huwa nakerekwa sana nikiusikia😀Oky.. Sema😆
😃😃😃PolesanaHuwa nakerekwa sana nikiusikia😀
Asante sana, almanusura wamrushe kasuku ndege wangu😀😀😀😃😃😃Polesana
3:5403:52 AM
🙏3:58!!!!!Tumshukuru mungu kwa uhai
Dogo Costa kavuta mda si mrefu uliopita
Nimeona hiyo habari apumzike kwa amani, kumbe alikua na kifafaDogo Costa kavuta mda si mrefu uliopita
Yeah dogo alikua na matatizo ya seizures,pia ukiwa na matatizo hayo afu ukawa na uzito uliopitiliza na ukikaa sehemu ambayo haina hewa ya kutosha,kutopumzika vya kutosha au ukitumia vilevi vingi ni rahisi kupata heart attack.Nimeona hiyo habari apumzike kwa amani, kumbe alikua na kifafa
Aisee kumbe ni hatari kiasi hicho, na madawa si ajabu alikua anatumia na hali yake hiyo.Yeah dogo alikua na matatizo ya seizures,pia ukiwa na matatizo hsyo afu ukawa na uzito uliopitiliza na ukikaa sehemu ambayo haina hewa ya kutosha,kutopumzika vya kutosha au ukitumia vilevi vingi ni rahisi kupata heart attack.
Madogo wa kisauzi hasa wale coloured wamepinda sana.Umarekani mwingiAisee kumbe ni hatari kiasi hicho, na madawa si ajabu alikua anatumia na hali yake hiyo.
Ndio basi tena ametangulia bado mdogoMadogo wa kisauzi hasa wale coloured wamepinda sana.Umarekani mwingi