Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,143
Asante mdogo angu . Unatoa ushauri mzuri sanaDaaaah kichwa 🤔 nacho kikisumbua ni kisanga utaomba poooh vumilia tu sali alfajiri uende pharmacy
Tatizo huogi aaaagh
Asante mdogo angu . Unatoa ushauri mzuri sanaDaaaah kichwa 🤔 nacho kikisumbua ni kisanga utaomba poooh vumilia tu sali alfajiri uende pharmacy
Siku 3 unagundua nn 🤯 duuh mi ningezima kabisa mi max ni 2 days tuSiku ya tatu hii....😢😢😢
Mi hii kawaida tuu.. hata mchana pia kupata usingizi ni ngumuSiku 3 unagundua nn 🤯 duuh mi ningezima kabisa mi max ni 2 days tu
Hutaki mazoezii???Hata hiyo morning glory sitaki
Sipo vizuri..
Achana na mimi ww 🤣Asante mdogo angu . Unatoa ushauri mzuri sana
Tatizo huogi aaaagh
Mgonjwa na mazoezi tena... Nikifia mazoezini ahahahaahah due to high internal body tempHutaki mazoezii???
We sio real G kanali G 🧐🧐Nakabidhi lindo, moyo unataka lakini mwili u dhaifu, tchaoo 04:10
Yule aliyekua akiishi dump....Achana na mimi ww 🤣
Napenda mwili wangu ukiwa mchafu hukusikia habari ya yule jamaa aliyekufa hakuoga miaka 50 akaoga akafa hapo hapo
Kuoga sana unapunguza siku zako za kuishi 😒😒😒
Daah au stress za life pia zinachangia kama wakina muskMi hii kawaida tuu.. hata mchana pia kupata usingizi ni ngumu
Sio pepo hili ni tabia tu ilimradi simkeri mtu wala kujiumiza sio mbayaYule aliyekua akiishi dump....
Sawa ushauri unatoa mzuri sana ila tatizo lako ndo hilo.. 😂😂😂
Badili msimamo wako sasa kemea pepo la uchafu
Lindo lipo salama mkuu.. Buenas noches✌Nakabidhi lindo, moyo unataka lakini mwili u dhaifu, tchaoo 04:10
Stress haziepukiki kabisa....Daah au stress za life pia zinachangia kama wakina musk
Daaah you need to keep pushingStress haziepukiki kabisa....
Naweza sema zinachangika kwa asilimia kubwa
Kabisa mdogo angu.. stress kitu kingineDaaah you need to keep pushing
Nilivyokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwann watu wanakunywa pombe na madawa ya kulevya ila saivi nimeelewa kweli
Haya maisha usipokuwa vizuri kiimani changamoto na stress za maisha zinaweza zikakupeleka sehemu mbaya sana ila its life 😒😒😒 so sad
Umenianza tena 🤣🤣🤣 kaa mbali 🤺🤺🤺🤺🤺Kabisa mdogo angu.. stress kitu kingine
Unaweza sahau hata kuoga aiseee🙌🙌🙌
Badobado kidogo mpaka 4:5504:25...morning glory preparation 😂😂👍
Nasemea kwa upande wangu 😂😂😂😂😂Umenianza tena 🤣🤣🤣 kaa mbali 🤺🤺🤺🤺🤺
Kweli mmejipangaBadobado kidogo mpaka 4:55