Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Unalinda mitaa gani hili nijichamge uko nipiteMi jobless wa kimataifa tu, ila najiajiri kupitia rasilimali watu usiku, jichanganye uone.
Unalinda mitaa gani hili nijichamge uko nipiteMi jobless wa kimataifa tu, ila najiajiri kupitia rasilimali watu usiku, jichanganye uone.
Mi kibaka tu ninayechipukia.Unalinda mitaa gani hili nijichamge uko nipite
Njoo uchipukie huku tuoneMi kibaka tu ninayechipukia.
Tunahitaji maombi mchungajii😂Dahani katika ubora wake kwenye lindo
Nina upungufu wa dhana za kazi.Njoo uchipukie huku tuone
Kuna nini Tena, isije kuwa niliyemkaba ni mchungaji??Tunahitaji maombi mchungajii😂
Tutakuongezea sisi 😂😂Nina upungufu wa dhana za kazi.
Basi nahitaji kikosi kazi, nitajie watu 2. Ili nione Kama naeza kuja??Tutakuongezea sisi 😂😂
Andika majina ya watoro leo Intelligent businessman 😁
Mhhh sitaki ugomvi na big boss Mwachiluwi, hujui wamepumzika na pisi yake Bantu LadyAndika majina ya watoro leo Intelligent businessman 😁