JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Siku moja jobless wa kimataifa nikiwa natembea mtaani, niliwaona mende wawili wakikimbizana kwa kasi kubwa.

Mende mmoja wao alikuwa ni dume na yule mwingine alikuwa ni jike mweusi, ghafla nilipigwa na butwaa baada ya kumuona mende dume akijaribu kumbusu mende jike kwa lazima.

Nikawaza 🤔🤔 vipi Kama anambaka??, Nikaamua nimsaidie ila kabla ya kutekeleza swala Hilo. Nilipata wazo jingine "vipi Kama yule mende jipya alikuwa ana kula hela za mende dume?? Na mzigo alikuwa hataki kutoa??

Nimeamua nikae ili niangalie show inavyokwenda, maana mi mwenyewe niko single so naweza pata uzoefu

Dah sijui nani ndo mwenye haki ??
To yeye Bantu Lady Dahan National Anthem Mwachiluwi
 
Siku moja jobless wa kimataifa nikiwa natembea mtaani, niliwaona mende wawili wakikimbizana kwa kasi kubwa.

Mende mmoja wao alikuwa ni dume na yule mwingine alikuwa ni jike mweusi, ghafla nilipigwa na butwaa baada ya kumuona mende dume akijaribu kumbusu mende jike kwa lazima.

Nikawaza [emoji848][emoji848] vipi Kama anambaka??, Nikaamua nimsaidie ila kabla ya kutekeleza swala Hilo. Nilipata wazo jingine "vipi Kama yule mende jipya alikuwa ana kula hela za mende dume?? Na mzigo alikuwa hataki kutoa??

Nimeamua nikae ili niangalie show inavyokwenda, maana mi mwenyewe niko single so naweza pata uzoefu

Dah sijui nani ndo mwenye haki ??
To yeye Bantu Lady Dahan National Anthem Mwachiluwi

Nikajua umelala ningekufukuza kazi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom