Ilikuwa inasubiriwa itimie milioni 2 ya Kenya jamaa amwagwe mazima na manzi yake kisha asepe!!!
Hope mko gud kabisa,hapa lindoni tunasema tupo timamu kabisa ndani nguvu ya 5 kwa 5
Kwa kifupi tupo
loaded kama kamanda wetu Fake P mkali wa night kali lindoni kama ambavyo hupenda kusema
Mchongo uko hivi, mwanadada flan hivi mwenye mvuto wake akiwa na homeboy wake ndani ya dunia ya wapendanao, mpaka sasa wapo pamoja for 3 good years,yes 3 gud years na wamejaaliwa kababy girl
Kama wanavyosema waswahili hakika moyo wa mtu ni kichaka,kwa maana huwezi jua mtu ana nia gani na malengo gani
So kama wapendanao wengine wowote wale ambao ukiwaona wakiwa pamoja unaweza hisi hawa wana mapenzi ya dhati sana na hawana makando kando,lakini nyuma ya pazia kuna dark story
Mwanaume ni mpambanaji,anapambana sana siku moja maisha yawe katika level nyingine so anasaka sana doo kufa na kupona
Homies wa homeboy walikuwa wana mshauri mwamba ananue ndinga,lakini kwa upande wa pili baby girl wake alimshauri wanunue shamba kwanza kwani ndio jambo la maana sana, ofu kozi ni ushauri mzuri lakini kumbe kuna mpango mwingine ambao home boy Haku hufahamu kabisa.
Je ishu nzima ilijulikanaje? Twende kazi...
Adui wa mapenzi ya siku hizi ni simu,maana simu ndio kila kitu linapokuja swala la mawasiliano
Kuna text ambayo baby girl alimtumia boss wake inasema hivi " Jana kwa mara ya kwanza nime squirt,nimepata raha ambayo ni wanawake wachache sana wanaipata"
Boss akajibu " walau kwa Mara ya kwanza nimemfanya mtu afurahi"
Kuna text nyingine inasema "sikutegemea kabisa kama leo hii tupo in love,maana tulianza ukiwa kama boss lakini leo tupo level nyingine"
Kuna text baby girl anasema " mimi nakupenda sana wewe,bwana wangu ni kijana mdogo hana experience au hajielewi"
Kuna text baby girl anamwambia huyo boss kwamba,ni miaka 6 now toka uondokewe na wife wako,lakini mimi nitakufanya uwe na furaha
Boss nae akamwambia je ungependa kuishi kilimani au Nairobi, demu akasema Kilimani
Baby girl akasema "now kwenye bank kuna 1.6 milioni nasubir bwana wangu aongeze ifike 2 milioni nimmwage mazima tukaendelee na maisha yetu"
Boss akajibu " ooho no comment"
Kuna meseji nyingine ikaonyesha Boss anamwambia baby girl mbona unanichelewesha nakungoja wewe tu
Naam wadau hayo ndio mapenzi bwana,unamipango mkibwa na mpenzi wako kumbe nae ana mipango mikubwa mingine
Baby girl kuulizwa na homeboy, je kuna kitu unakosa kwangu,demu kajibu hakuna ninacho kosa,demu akabanwa pale,mwisho wa siku akasema:
Kwanza,alisema eti alikuwa amelewa siku hiyo anaandika hizo text,akaulizwa sasa hizo habar za squirt zimetoka wapi na boss wako,mtoto mzur kimya hana majibu
Ndio akaanza kufunguka,unajua jamaa kaniahidi mambo mengi sana ndio maana nikamkubalia
Pili,baby girl anasema,unajua wewe bwana wangu huna muda wa kuspend pamoja,muda mwingi upo kwenye shughuli zako,nayo imechangia sana
So to cut the story short,jamaa akamwambia demu sitaki kukuona tena wewe nenda kwa huyo boss wako
Demu full kujiliza kama kawaida yao utafikiri sio yule ambaye alikuwa na mipango haramu dhidi ya bwana wake,anasema mimi nakupenda wewe tu,jamaa nilikuwa nae baadae akishanifanyia mambo mengi nirudi tena kwako.
View: https://youtu.be/mMeYoIj8DoI?si=64frEK0R5C8mRPs2
Kiukweli kabisa usaliti wa mapenzi hautaisha na
hakuna kitu tutafanya!
Alamsiki!