Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
We siku ukiona kimya, jua ma mwela washanidaka jobless wa kimataifaHila unajua kuni joke [emoji23][emoji23][emoji23]
We siku ukiona kimya, jua ma mwela washanidaka jobless wa kimataifaHila unajua kuni joke [emoji23][emoji23][emoji23]
We siku ukiona kimya, jua ma mwela washanidaka jobless wa kimataifa
Leo mapema napokea lindo
🤣🤣🤣 heshima yako mkuuBaada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na kazi.
Ndugu yenu niliamua nijaribu bahati yangu katika tasnia ya muziki.
niliamua kusafiri kutoka katika Kijiji chetu kinachofahamika Kama nchi ya wabahatishaji na kuamua kuelekea katika jiji la daresaaalamu.
Lengo langu kuu lilikuwa ni kuimba nyimbo 5, hivyo baada ya kufika stend ya mbezi, nilipokelewa na mwenyeji wangu boss Mwachiluwi aliyekuwa ameongozana na secretary wake To yeye .
Waliamua kunipeleka studio moja kwa moja Ili nianze kazi iliyo nileta, baada ya kuonana na produza.niliamua nianze kuimba nyimbo inatohusu maisha yangu Mimi jobless wa kimataifa.
Dah sijui nini kilitokea🤔🤔 kwani tokea asubui Mimi na produza tulikuwa tunalia hovyo 😥😪
Bantu Lady To yeye boss Mwachiluwi National Anthem Dahan na stow away
Kwema mkuu. Wewe na jamii yako hamjambo??🤣🤣🤣 heshima yako mkuu
Baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na kazi.
Ndugu yenu niliamua nijaribu bahati yangu katika tasnia ya muziki.
niliamua kusafiri kutoka katika Kijiji chetu kinachofahamika Kama nchi ya wabahatishaji na kuamua kuelekea katika jiji la daresaaalamu.
Lengo langu kuu lilikuwa ni kuimba nyimbo 5, hivyo baada ya kufika stend ya mbezi, nilipokelewa na mwenyeji wangu boss Mwachiluwi aliyekuwa ameongozana na secretary wake To yeye .
Waliamua kunipeleka studio moja kwa moja Ili nianze kazi iliyo nileta, baada ya kuonana na produza.niliamua nianze kuimba nyimbo inayohusu maisha yangu Mimi jobless wa kimataifa.
Dah sijui nini kilitokea[emoji848][emoji848] kwani tokea asubui Mimi na produza tulikuwa tunalia hovyo [emoji26][emoji25]
Bantu Lady To yeye boss Mwachiluwi National Anthem Dahan na stow away
Big boss hebu ntumie ka aftatu. Nipike ugali robo na msusa wa 100Wew jamaa wew ni shida ase [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Big boss hebu ntumie ka aftatu. Nipike ugali robo na msusa wa 100
Mkuu samahani hio bank, ndo yale mabakuli ya udongo ehh??Nitumie account namba ya bank
Bro una miaka mingapi ?View attachment 2496724
Am here leo nimeamua kutuma picha yangu [mention]Marcy [/mention] njoo unione huku hulikuwa unanisumbua picha
Mkuu samahani hio bank, ndo yale mabakuli ya udongo ehh??
Mkuu hizo dislike, mi na wewe tuna tatizo ??Bro una miaka mingapi ?
Hizo ndevu umezipataje asee maana mi sina kabisa?
Bro una miaka mingapi ?
Hizo ndevu umezipataje asee maana mi sina kabisa?
To yeye Dahan na Bantu Lady mkuje maana bwana harusi kapatikana.View attachment 2496724
Am here leo nimeamua kutuma picha yangu [mention]Marcy [/mention] njoo unione huku hulikuwa unanisumbua picha
😂😂😂 bado na padri