JamiiForums Usiku wa manane
Si chini ya elfu20 au 30 kisa tu nimekosa usingizi na utalipia pesa hiyo na unaenda lala chini huku umebanana na mateja, majambazi, wauaji na kila laana ya mtu ngoja nigeuze nikatulie kwenye godoro

Na bado mbu hawaja kuzomea masikiona wengine mbu wanakutekenya miguuni hili mladi tu usifurahi
 
Kule pana chosha sana! Unalala unachoka unaamka unapumzika alafu unalala tena
Tena usiombe uwe huna chupa ya maji kubwa utaona kila aina ya rangi tofauti na kero ya harufu kali

Na huku mateja wanakuvutia pumzi ukijamba wanakupiga au wanakugeuza na
Police wanashangaa hawana muda na ww
 
Na huku mateja wanakuvutia pumzi ukijamba wanakupiga au wanakugeuza na
Police wanashangaa hawana muda na ww
Usiombe! Kule napafahamu vizuri sana nimesha hudhuria mara kadhaa! Usiku kama huu anaingia mtu kesha legezwa akiwa mtata tu na humo ndani mnaamka wote mnaanza kumkanda mpaka atulie
 
Back
Top Bottom