Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,268
Si chini ya elfu20 au 30 kisa tu nimekosa usingizi na utalipia pesa hiyo na unaenda lala chini huku umebanana na mateja, majambazi, wauaji na kila laana ya mtungoja nigeuze nikatulie kwenye godoro
Na bado mbu hawaja kuzomea masikiona wengine mbu wanakutekenya miguuni hili mladi tu usifurahi


na kiza hiki soda? .....No labda maji vuguvugu

