JamiiForums Usiku wa manane
Unakuta lishangazi limenyoa nywele, limevaa hereni kubwa za duara, shingoni na mkononi kuna gold kadhaa, miwani flani kubwa ipo machoni halafu lina discovery 4
 
Unapokatishwa tamaa hakikisha hukati tamaa mpaka mkatisha tamaa akate tamaa ya kukukatisha tamaa.
Mafanikio yapo karibu..
 
Niko sehumu nacheki mpira nikakutana na pungu nimekereka nikarud omu tu kulala 12:57
IMG_20220923_231604_0.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Niko sehumu nacheki mpira nikakutana na pungu nimekereka nikarud omu tu kulala 12:57View attachment 2366103

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
unafki tu umekujaaa mwanaume rijali huwa hafatilii watu wala maishaa ya watu tena kwenye issue kama hiyo kuonyesha kama amekereka hawez hata kupost kwendagaa bwanaa kuna bar huko dar isyokuwa na mashoga au unafki tu mxieewww
 
Back
Top Bottom