Sio nondo boss,shusha boksa,piga puli,ukiamsha mashabiki usingizi utakuja soon...Hii ni kisayansi kabisa, 🤣Shusha nondo
Sio nondo boss,shusha boksa,piga puli,ukiamsha mashabiki usingizi utakuja soon...Hii ni kisayansi kabisa, 🤣Shusha nondo
Aisee mpo na tabu sana chaputazSio nondo boss,shusha boksa,piga puli,ukiamsha mashabiki usingizi utakuja soon...Hii ni kisayansi kabisa, 🤣
,🤣🤣🤣🤣 ningekuwa nishalala boss. Lakini nilichokwambia ni kweli,masterbation inasababisha mwili kuachia hormones ambazo zinafanya mwili kurelax hivyo kuleta usingizi.Aisee mpo na tabu sana chaputaz
Pole sana aisee.Hili gonjwa ni hatari
Asante.. hivi linatibika?Pole sana aisee.
Ndio,inabidi ujue chanzo kwanza...Asante.. hivi linatibika?
Ushauri mbaya,🤣🤣🤣🤣 ningekuwa nishalala boss. Lakini nilichokwambia ni kweli,masterbation inasababisha mwili kuachia hormones ambazo zinafanya mwili kurelax hivyo kuleta usingizi.Ni option ambayo kama mtu hana amani nayo simshauri kutumia,lakini ndio ushauri wangu wa kwanza kwa watu wengi wenye Insomnia. Mengine yanahitaji process nyingi sana.
Wengi wanasema hivyo...hata hivyo nilikuwa na mood ya masikhara tuUshauri mbaya
Inatokea tu kukosa usingizi..Ndio,inabidi ujue chanzo kwanza...
Kuna sababu,pengine ni mpangilio mbaya ya kulala,depression,stress,matumizi ya dawa au vinywaji vyenye caffein n.k....Inatokea tu kukosa usingizi..
Hahaha
shida mim mwenyewe siitambuikonyagi form two? inabidi kwanza utafute chanzo ni nini,kabla hujatafuta solution....Unahisi shida ni nini so far?
mie inapita siku hadi 5 .wiki cna usingiziInatokea tu kukosa usingizi..
karibu,unatumia kahawa au kinywaji gani rafikiIt's time😵😵😵
Pole. Hutokea pia..mie inapita siku hadi 5 .wiki cna usingizi