Miaka hiyo huu uzi ulikuwa fire mbaya, nilikuwa natamani usiku uungezwe muda (masaa)Huu uzi ulinisaidia/ulinilea sana back then. Miaka ya 2017, 2018 & 2019.
Heshima kwenu wadau mnaouendeleza.
Kesho VICOBAUsiku wa deni hauchelewi kucha, wahanga wenzangu njooni mnipe mbinu za kumkwepa anayenidai.
Bila yesu mim ni mtu bureNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Marahaba,Karibu tena!Huu uzi ulinisaidia/ulinilea sana back then. Miaka ya 2017, 2018 & 2019.
Heshima kwenu wadau mnaouendeleza.
🤣🤣Weekend hii watu mnamenyana tu,mmesahau hadi lindo!
Hahaha mimi mziki unalia tu unaninyima usingizi 04:1703:25 napambana na stress zangu