Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 647
- 565
Bia hiyo ni nzito...akiweza kukata balimi hizi serelite atakua anaona kama juice balimi bia ya kisukuma ile ni.shidaKwanini mkuu?
Bia hiyo ni nzito...akiweza kukata balimi hizi serelite atakua anaona kama juice balimi bia ya kisukuma ile ni.shidaKwanini mkuu?
Hata usijisumbue bure....mie sibebishiki, ni wivu tu unanisumbua nikiona wanaobebishana![]()
![]()
![]()

![]()
![]()
![]()
Nimeona wote mnanipa pole kavu tu, ikabidi niombe hata sharubati/juisi kijanja

Kwa hili naona umekubaliana na wahenga![]()
![]()
kweli nimeamini "every man has a price"
Bila shaka umependa zaidi ua kuliko boga lenyewe![]()
![]()

Hahaha huoni wamepotea pamoja, itakua jirani kaitwa sirini akatoe maelezo![]()
![]()
bila shaka hata wewe unatamani kuwafahamu!

Umeona eeeh!Hahaha huoni wamepotea pamoja, itakua jirani kaitwa sirini akatoe maelezo![]()
![]()
![]()
![]()
Uchochezi huu sasa, ngoja niwahishe Uzi na sindano fasta![]()
Nimeshaghairi siushoni tena mdomo wangu... ukiniponza itakuwa ajali kazini tu! Baki na sindano yakoMkuu, jaribu hii dawa ni nzuri sana kwa kuleta usingingizi:-Usingizi sina
Lakini tungeanzisha group la wasap admin awe nganeno
![]()
![]()
Nimeshaghairi siushoni tena mdomo wangu... ukiniponza itakuwa ajali kazini tu! Baki na sindano yako

Acha kumpotosha mwenzioMkuu, jaribu hii dawa ni nzuri sana kwa kuleta usingingizi:-
Chukua bombadia 7
Changanya na kasichana kamoja
Ongeza balimi 3 kwenye mchanganyiko
Then bila kusahau changanya na pilipili kiganja kimoja na ugoro vijiko 2 vya chai.
Nb:- Ukipona tafadhali lete mrejesho hapa, bila kusahau balimi 3 za mtabibu

Hahaha tulia bibie, ujue mtaani naitwa dokta kwa kutibu matatizo kama yakeAcha kumpotosha mwenzio![]()
![]()

Kama ww umepotea sanmwana mpotevu. !!