prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 662
- 701
04.01 Mungu kwanza
Hakuna kulala hakuna kulala asubui itukuteeeeh, Hakuna kulala na machweo yatukute...... Wivu umewaingia Mungu kanionyesha ishara........... My parents aren't heroes there's just like me......... Ooh love u ma babe love you ma babe...........inama kidg shika magoti........... Hatuachani ni kichekoNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!


......... do le mi fa so la tI dooooLikeHakuna kulala hakuna kulala asubui itukuteeeeh, Hakuna kulala na machweo yatukute...... Wivu umewaingia Mungu kanionyesha ishara........... My parents aren't heroes there's just like me......... Ooh love u ma babe love you ma babe...........inama kidg shika magoti........... Hatuachani ni kicheko......... do le mi fa so la tI doooo