Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,623
Pole mkuu kwa hiyo umeamka kutafuta msosi?Kwema kabisa mkuu njaa imeniamsha
Pole mkuu kwa hiyo umeamka kutafuta msosi?Kwema kabisa mkuu njaa imeniamsha
Nimepata mchemsho hapa nile nikajilazePole mkuu kwa hiyo umeamka kutafuta msosi?
Haya mlo mwemaNimepata mchemsho hapa nile nikajilaze
Hapa natoboa mpaka kokoliko
Hulali tena?Hapa natoboa mpaka kokoliko
silali tena nikitoka hapa ni moja kwa moja kwenye jumuiyaHulali tena?
Haya poa mkuusilali tena nikitoka hapa ni moja kwa moja kwenye jumuiya
Pole sana mkuuWiki sasa naumwa mabega. Yaani ikifika usiku inakua kama adhabu Kwangu, maumivu kila mahali nashindwa kulala.
Tumbo haliwaki moto? Heartburn au bloating?Wiki sasa naumwa mabega. Yaani ikifika usiku inakua kama adhabu Kwangu, maumivu kila mahali nashindwa kulala.
2;48
nimekuja mremboYani nafumba macho kabisa nilale ila usingizi haujii sijui nimelogwaa....najua kesho wengine kazii ila kama na wewe hudamki kama mimi na unasubiri "mishe flani" kama mimi na huna usingizi njoo basi tukeshee hadi usngizi ukuje