Funguo unazo12:21
sina.... nasubiri wenye nazoFunguo unazo
mbna mapema... kufunga tena..?Tufunge na kamba
polee0:26 hakuna ata lepe la usingizi ,unateseka ukiwa wapi
Siku hua hazilingani n kawaida kabisapolee
kweli kabisaSiku hua hazilingani n kawaida kabisa
Weka mziki taratibu00:39
Daah wakuu kuna mtu kailnikatisha usingizi wangu nyambaf zake.
Huwa mnafanyaje nyakati hizi ndgu zangu mpaka kunakucha, maana sijioni nikilala hapa.
Shukran mkuu, acha nifany ivo.Weka mziki taratibu